Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Wednesday, June 5, 2013

SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI


Wanafunzi wa shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba wakifanya usafi katika maeneo yanayozunguka shule hiyo kwa lengo la kuweka mazingira ya safi, ambapo leo ni siku ya mazingira duniani.


Wanafunzi wa shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba wakifanya usafi ikiwa ni siku ya mazingira duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Juni 5 ikiwa na kauli mbiu mbalimbali.





No comments:

Post a Comment