Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Tuesday, June 4, 2013

ASKOFU KILAINI AIPONGEZA RASMU YA KATIBA

Askofu msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba Dkt. Methodius Kilaini akitoa ufafanuzi juu ya rasmu ya awali ya katiba ambayo ilitolewa jana na tume ya mabadiliko ya katiba, ambapo pamoja na mambo mengine amesema tume hiyo inatakiwa kupongezwa kutokana na udhubutu wake wa kuweka hadharani vitu vipya
Askofu msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba Dkt. Methodius Kilaini akisisitiza jambo juu ya rasmu ya katiba, ambapo ameipongeza rasmu hiyo kwani inaonyesha mwelekeo ya kuimarisha demokrasia.

No comments:

Post a Comment