Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Friday, May 31, 2013

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA??????

Zaidi ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania bado kuna watu ambao wakipoteza wapendwa wao hulazimika kuwabeba kwenye machera hii ni kutokana na umasikini hususani maeneo ya vijijini, hali imepelekea kuwepo kwa makundi mawili yalionacho na wasiokuwa nacho.picha kwa hisani ya mtandao.

No comments:

Post a Comment