Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Monday, May 13, 2013

VIJANA WA FACEBOOK NA TWITTER.......


Wanafunzi wa shule ya sekondari A.KA Vijana wa facebook na Twitter wakijifunza jinsi ya kutumia kompyuta zilizounganishwa katika mtandao.
 
Mimi mwenyewe naweza kutumia kompyuta bila msaada wa mtu.
 TUNABADILISHANA MAWAZO.

Wakazi wa kata ya Buhembe wakibadilishana mawazo nje ya ofisi ya kata, kama walivyokutwa na kamera yetu.


No comments:

Post a Comment