Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Thursday, May 30, 2013

KAMBI YA WANAFUNZI WA MICHEZO BUKOBA YAFUNGWA RASMI


anafunzi wa shule za msingi kutoka tarafa nne za Katerero, Bugabo, Rubare na Kyamutwara wakifurahia jambo wakati wa kufunga wa hafla fupi ya kufunga kambi ya michezo UMISHUMITA kambi hiyo wa siku tatu ilikuwa katika shule ya sekondari ya Maruku.



Wanafunzi wakiwa katika pozi wakisubiri kufungwa kwa kambi ya siku tatu ya  michezo.

Wanafunzi wa shule za msingi kutoka tarafa nne za Katerero, Bugabo, Rubare na Kyamutwara wakifuatilia maelekezo kutoka kwa walimu wao wa michezo katika kambi ya shule ya sekondari Maruku.

Wanafunzi wa shule za msingi kutoka tarafa nne za Katerero, Bugabo, Rubare na Kyamutwara wakifanya mazoezi kabla ya kufungwa kwa kambi ya michezo UMISHUMITA kambi hiyo wa siku tatu ilikuwa katika shule ya sekondari ya Maruku.
Mratibu wa kambi ya michezo ya wanafunzi wa shule za msingi akisoma majina ya wanafunzi 80 ambao wamechaguliwa kuwakilisha halmashauri ya wilaya ya Bukoba kwenye mashindano wa UMISHUMITA ngazi ya mkoa mashindano yanayotarajiwa kufanyika wilayani Muleba.

Katibu tawala wa wilaya ya Bukoba Bw. Clement Ndyamukama akifunga kambi hiyo ambayo imedumu kwa siku tatu na kushirikisha jumla ya wanafunzi 183 kutoka tarafa nne za halmshauri ya wilaya ya Bukoba.

Baadhi ya walimu waliokuwa wanafundisha kambi hiyo.


No comments:

Post a Comment