Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Thursday, April 26, 2012

Bajaji zilizoridhiwa na Bunge la Tanzania ajili kubebea wanawake wajawazito

 Ni pikipiki zenye magurudumu matatu maarufu kama BAJAJI ambazo zimenunuliwa na serikali kwa ajili ya kubebea wanawake wajawazito zikiwa zimerundikwa katika hospitali ya mkoa wa Kagera.

Ununuzi wa bajaji hizo kwa ajili ya akinamama wajawazito uliridhiwa na bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Swali je unazionaje kwa mazingira ya vijijini zinaweza kuhimili milima na miundombinu ya vijijini?

No comments:

Post a Comment