Ni sehemu ya nyumba za kupanga na kulala wageni katika kisiwa cha
Bumbire mwalo wa Mchangani, nyumba hizi upangishwa kati ya shilingi 10,000 hadi 15,000
kwa mwezi, ukiingia kwa ndani duu!
|
Ujenzi wa nyumba za kuishi unaendelea na kama zinavyoonekana tayari nyumba mbili zimeishaezekwa kwa kutumia majanvi na kalatasi za mahema |
No comments:
Post a Comment