Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Henry Salewi akikabidhi vyeti kwa wahitimu kati ya wahitimu hao wapo viongozi wa serikali wakiwemo watendaji wa kata na polisi. |
Sehemu ya wahitimu wa mafunzo wakifuatilia hotuba mbalimbali zilizokuwa, ambapo pamoja na mambo mingine wametakiwa kufuata sheria za barabarani na kujihami wanapoendesha vypmbo vya moto. |
Wahitimu hawa wanasoma risala kwa mgeni rasmi huku wakieleza a mambo yaliyofundishwa ambayo baadhi yake ni pamoja na polisi jamii, alama za barabarani, ukaguzi wa vyombo vya moto na uzimaji wa moto. |
No comments:
Post a Comment