kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Vitus Mlolere na mkurugenzi wa chuo cha udereva cha lake zone Bw. Winston Kabantega wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi. |
Ni baadhi ya washiriki wa mafunzo ya muda mfupi wakifuatilia nasaha zilizokuwa zikitolewe na viongozi mbalimbali. |
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Vitus Mlolere akifunga rasmi mafunzo hayo ya siku tano kwa niaba ya kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Henry Salewi. |
Wahitimu wa mafunzo hayo wakifurahi baada ya kukabidhiwa vyeti vya mafunzo ya muda mfupi, ambavyo vitawawezesha kupata lesini mpya katika mabadiliko ya leseni kwa ajili ya kuendeshea vyombo vyao. |
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Vitus Mlolere akikabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi yaliyofanyika katika wilaya ya Muleba, kata ya Nshamba , kalambi na Kyebitembe. |
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Kagera Bw. Vitus Mlolere akikabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya muda mfupi yaliyofanyika katika wilaya ya Muleba, kata ya Nshamba , kalambi na Kyebitembe. |
No comments:
Post a Comment