Karibu WanaKagera ili tuunganishe nguvu zetu kwa pamoja katika harakati za kujenga Kagera yetu.
Sunday, May 13, 2012
Ni mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali Fabain Massawe akiwa na Bw. Novatus Kashaga wakati akikagua na kuhimiza usafi kwenye mitaa mbalimbali ya mjini Bukoba ikiwa ndio siku maalumu iliyopangwa na manispaa kwa kila wananchi kusafisha eneo lake siku ya alhamisi inajulikana kwa jina maarufu kama Massawe day.
Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali Fabain Massawe akiwa na Bw. Novatus Kashaga
No comments:
Post a Comment