Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Friday, November 23, 2012

MSIMU WA SENENE UMEWADIA BUKOBA

 Baaadhi ya wachuuzi wa senene nje ya soko kuu la Bukoba.


 Mmoja wa wafanyabiashara wa senene, anaeleza kuwa bei ya senene kila kukicha inashuka, hii inatokana na ongezeko kubwa la senene, mfupi mdogo unaoonekana pichani ukijazwa unauzwa shilingi 1,000 tofauti na msimu ulipoanza ambapo mfuko huo ulikuwa unaozwa kwa zaidi ya shilingi 10,000.


 Marobota yaliyojaa senene.


 Baadhi ya wananchi katika manispaa ya Bukoba wakichangamkia senene.


Mambo ya senene hayo.
picha kwa hisani ya audax blogspot

No comments:

Post a Comment