Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Thursday, September 6, 2012

Mwandishi Francis Godwin Atoweka Iringa Akihofia Maisha Yake

Mwandishi Francis Godwin akiwa na marehemu Daudi Mwangosi (katikati) Enzi za uhai wake. Ametoa taarifa fupi kabisa katika blog yake.Haifahamiki na labda ni kwa sababu za kiusalama amekwenda wapi na hakusema ni kwa vipi maisha yake yako shakani.

No comments:

Post a Comment