Vijana wakisomba ndizi na kuzipakia kwenye meli tayari kwa ajili kuzisafirisha kutoka Bukoba kwenda jijini Mwanza. |
Hawa nao wanaweka ndizi kwenye magunia ikiwa ni maandalizi ya kuzisafirisha kwenda jijini Mwanza. |
Mmoja kati ya vijana ambao wamejiajiri katika bandari ya Bukoba akisoma ndizi na kuziweka ndani meli tayari kwa kusafirishwa. |
No comments:
Post a Comment