mkurugenzi wa manispaa hiyo Bw. Khamis Kaputa akijibu hoja na maswali yaliyowasilishwa na madiwani kwa ajili ya kupatiwa majibu |
Madiwani wakifuatilia mijadala katika kikao cha baraza wa kwanza kulia ni diwani wa kata ya Bakoba kupitia CUF Bw. Felician Bigambo akipitia nyaraka mbalimbali kabla ya kutoa mchango wake. |
Baadhi ya madiwani wakichangia hoja wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya manispaa ya Bukoba |
No comments:
Post a Comment