Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Tuesday, July 17, 2012

WAANDISHI KAGERA NA UCHAMBUZI WA BAJETI

Baadhi ya waandishi walioudhuria semina.


Waandishi wa habari walioudhuria semina ya inayohusiana na masuala ya sera iliyoandaliwa na umoja wa vilabu vya habari nchini (UTPC), ilifanyika kwenye ukumbi wa mtakatifu Francis ulioko mkoani Kagera katika manispaa ya Bukoba.

Adam Ndokeji, mwezeshaji wa mafunzo ya siku 4 yaliyoandaliwa na UTPC yanayohusiana na masuala ya sera mbalimbali.

Add caption

No comments:

Post a Comment