Warembo wanaotarajia kupanda jukwaani kuwania
Taji la Miss Vyuo Vikuu 2012, siku ya Ijumaa wiki hii katika Ukumbi wa Maisha
Club, wakipozi kwa picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge, wakati warembo hao
walipofika kutembelea na kujifunza shughuli za Bunge mjini Dodoma Leo, Julai
03, 2012. Picha zote na Mtandao wa fullshangweblog, |
No comments:
Post a Comment