Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Saturday, July 7, 2012

MAISHA BORA YATAPATIKANA KWA NJIA KAMA HIZI

Wananchi katika wilaya ya Mubela wakiuza vitu vidogovidogo kwa ajili ya kujipatia mahitaji yao, lengo likiwa ni katika jitihada zao za kujiletea maendeleo kumbuka maisha bora hawawezi kupatikana na bila kufanya kazi(picha kwa hisani ya Mjengwa)

No comments:

Post a Comment