Karibu WanaKagera ili tuunganishe nguvu zetu kwa pamoja katika harakati za kujenga Kagera yetu.
Sunday, July 22, 2012
MKURUGENZI WA MISTU NA NYUKI AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI KAGERA
Nyoka aina ya Namloos ambaye inadaiwa anapatikana katika hifadhi ya msitu wa Minziro wilayani Missenyi mkoani Kagera, nyoka huyu bado anaendelea kusakwa na serikali ingawa kuna utata mkubwa wa kuwepo au kutokuwepo kwake.
No comments:
Post a Comment