Matangazo yanakaribishwa katika blog hii,piga simu no 0753 239 687 Email-livinusferuzi@yahoo.com

Tuesday, March 27, 2012

Wanafunzi karibu Kagera Press Klabu

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kabale wakipatiwa maelezo juu ya utandawazi kutoka kwa waandishi wa habari mkoa wa Kagera wanafunzi hao walifika katika ofisi za chama cha waandishi wa habari mkoa wa Kagera kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali
Mwandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima Bw. Antidius Kalunde wakiwaeleza jambo wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kabale

No comments:

Post a Comment